Magoli 8 aliyofunga Usengimana anayedaiwa kasajiliwa na Singida kwa zaidi ya Tsh Milioni 200
Jina la Danny Usengima kwa soka la Rwanda sio geni lakini kwa Tanzania inawezekana ndio ukawa unalisika kwa sasa baada ya club ya Singida United ya Tanzania, kutangaza kumsajili kwa mkataba wa miaka miwili akitokea club ya Polisi FC inayoshiriki Ligi Kuu Rwanda.
Danny Usingimana ndio mfungaji bora wa Ligi Kuu Rwanda kwa misimu miwili mfululizo na msimu uliyomalizika amefunga jumla ya magoli 19 na kuwa mfungaji bora, kuanzia msimu ujao utamuona akicheza Singida United ambao hawajaweka wazi dau walilomsajili.
Post a Comment